Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Friday, March 10, 2017

PICHA3: Jinsi sanamu la Mfalme Farao II aliyetawala miaka 3000 lilivyopatikana

March 9 2017 imeripotiwa taarifa kutokea Misri kuhusu Sanamu ya mfalme Farao II, sanamu hilo limepatikana chini ya Ardhi na inasemekena ni la Mfalme Farao Ramses II aliyetawala Misri zaidi ya miaka 3,000 iliyopita lenye Mita 8 (26 ft) , Sanamu hilo limegunduliwa na wanasayansi kutoka Misri na Ujerumani.
Farao pia alijulikana kama Ramses na alitawala Misri kwa miaka 66, kutoka 1213BC hadi 1279BC

0 comments:

Post a Comment