Leo timu za nchi mbalimbali zitaingia uwanjani kukipiga kusaka tiketi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi.
Miongoni mwa michezo hiyo ni Austria itakipiga dhidi ya Wales, wakati
Moldova , ikishuka dhidi ya Serbia, huku, Kosovo ikishuka na Croatia.
Jamhuri ya Ireland watakuwa wenyeji wa Georgia, wakati Albania
wakiifuata, Liechtenstein, huku Macedonia wakiwapa mwaliko Waisrael.
Iceland watakuwa nyumbani dhidi ya Finland, huku Waturuki wakiwaalika –
Ukraine, na mchezo mkali kabisa hii leo ukiwa kati ya mabingwa wa dunia
mwaka 2006 Italia wakimwaga mbungi dhidi ya mabingwa wa dunia 2010
Hispania.
0 comments:
Post a Comment