Leo October 4, 2016 Chama cha ACT
Wazalendo kimechukua headlines baada ya msanii Afande Sele ambaye ni
mwanachama wa chama hicho kupost maneno ya kudai kuwa amekua haelewi
matendo ya chama hicho.
Taarifa iliyotolewa na afisa habari wa ACT
Wazalendo Abdalah Hamis imesema chama hicho kimeona alichokiandika
Afande Sele na wamechukulia kama maoni ya mwanachama wa kawaida na
wanayeheshimu maoni hayo hata kama sio sahihi wanayapokea na hawawezi
kumchukulia hatua zozote kwasababu wamechukua ni kama maono yake.
0 comments:
Post a Comment