Good News nyingine ni hii kutoka Afrika Kusini ambako ni makazi ya tawi la kituo cha MTV ambacho kwa upande Afrika kinaitwa MTVBaseAfrica, hawa jamaa leo wametoa list ya wasanii 10 kutokea Afrika wanaotakiwa kuangaliwa zaidi mwaka 2017.
Nimeipata Full List naisogeza kwako hapa chini.
0 comments:
Post a Comment