Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Sunday, March 12, 2017

Moses Machali kayataja Mambo mawili yaliyomfanya ahamie CCM

Leo kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM, aliyekuwa mbunge wa Kasulu kwa tiketi ya NCCR kabla ya kuhamia ACT Wazalendo, Moses Machali ametangaza rasmi kuhamia CCM na amezitaja sababu mbili zilizomfanya afanye hivyo ikiwemo utendaji wa Rais Magufuli

0 comments:

Post a Comment