Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Friday, September 30, 2016

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO BODI YA MIKOPO 2016/2017



Seebait.com 2016SeeBait
 
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu imetangaza majina ya wanafunzi waliokosea kujaza form za mikopo kwa kutokuweka sahihi,picha na vitu mbalimbali 2016/2017.

Wote mliokosea mnatakiwa kufika katika ofisi za bodi ya mikopo kuanzia tarehe 3 jumatatu asubuhi kwa ajili ya kuviweka.

Lakini wale wote ambao hakuweka picha,vyeti ,picha z wadhamini wantakiwa kuzituma kwa anwani ya EMS kwe anwani ifuatayo;
DEADLINE NI TAREHE 7/10/2016
The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,
P. O. Box 76068,
DAR ES SALAAM.
KUONA MAJINA HAYO  <<BONYEZA HAPA>>

0 comments:

Post a Comment