SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) leo Februari 20, 2017 limetangaza bei ya viingilio kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya watani wa jadi, Simba na Yanga, mchezo ambao utapigwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Viingilio ni kama ifuatavyo;
VIP A, 30,000
VIP B & C, 20,000
Orange, 10,000
Kijani & Blue, 7000.
0 comments:
Post a Comment