Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Wednesday, February 22, 2017

Jenerali Venance Mabeyo Amtembelea Mufti Mkuu Wa Tanzania Sheikh Zuberi Ofisini Kwake

Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF ),Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini ya Kiislam, alipomtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Zuberi ofisini kwake mapema leo.Waliokaa kuanzia kushoto sheikh wa mkoa wa Dar es salaam Alhd Mussa .Jenerali Venance Mabeyo .Sheikh Mkuu Muft Zuberi, waliosimama kuanzia kushoto Katibu Mstaafu Suleiman Lolila,Haidari Kambili,Sheikh Mussa Hemed, Katibu wa dini Mohammed Hamisi pamoja na Tabu kawambwa

0 comments:

Post a Comment