Tuesday, November 15, 2016
Mix Baada ya barabara kuporomoka, Japan wametumia siku mbili kukarabati
Wiki iliyopita iliripotiwa habari ya shimo kubwa lilitokea baada barabara kuporomoka ghafla katikati mwa moja ya miji mikubwa zaidi nchini Japan.
mako45
Ilielezwa kuwa Mporomoko huo ulianza kwa mashimo mawili madogo ambayo baadaye yalianza kupanuka hadi kuwa shimo kubwa lenye kina cha mita 30 na upana wa futi 98.
chww4
Sasa leo November 15 2016 imeripotiwa kuwa barabara hiyo imefunguliwa, unaambiwa imefanyiwa ukarabati kwa muda wa siku mbili.

0 comments:
Post a Comment