Ufafanuzi wa Julius Mtatiro kuhusu mambo mbalimbali kwenye mgogoro wa CUF
on
Wakati
mgogoro wa kiungozi ndani ya chama cha wananchi CUF ukizidi kuchukua
headline, leo kupitia kipindi cha Power Breakfast cha clouds FM,
mwenyekiti wa kamati ya uongozi CUF, Julius Mtatiro ametoa ufafanuzi juu
ya mambo mbalimbali kuhusu mgogoro wa kiuongozi unaoendelea ndani ya
chama hicho, moja ya swali ambalo amaeulizwa Mtatiro ni kuhusu hatua
watakazozichukua ili kumtoa ofisini Prof. Lipumba, Mtatiro amesema ….
‘Baada
ya Lipumba kuingia kwenye ofisi kwa nguvu, wanachama walijipanga kwenda
kurudisha ofisi yao lakini tahtmini ilipofanyika palionekana kuwa
panaweza kutokea umwagikaji wa damu…..kwa hiyo wanachama wakauchukua huo
uamuzi na sisi tukaupokea huo uamuzi, hatuitaji kutumia nguvu’
0 comments:
Post a Comment