Wednesday, April 26, 2017
Pogba kuikosa manchester city kesho
Habari mbaya kwa mashabiki wa Manchester United kwa kuwa kiungo wao, Paul Pogba ataikosa mechi ya wapinzani wao wakubwa Manchester City, kesho.
Kocha Mkuu wa Man United, Jose Mourinho amethibitisha kwamba mambo si mazuri.
Mourinho amesema imeshindikana kwa Pogba kupona haraka maumivu ya nyama za nyuma za paja alizoumia.
0 comments:
Post a Comment