Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Wednesday, October 19, 2016

Moto wateketeza Mabweni 2 ya Shule ya Kondoa Islamic

Moto wateketeza Mabweni mawili ya wasichana ya Shule ya Sekondari ya Kondoa Islamic iliyopo Kondoa Mjini, Moto huo ulianza majira ya saa 3 usiku kuamkia leo na kusababisha taharuku kubwa kwa wanafunzi na wazazi kwa ujumla ndipo juhudi za kuuzima Moto huo zikaanza na kuweza kuafanikiwa kuuzima moto huo majira ya saa 5 usiku. Hata hivyo kamati ya ulinzi na salama ya Wilaya ilifika hapo shuleni na kujionea uharibifu huo, mpaka sasa haijafahamika chanzo cha Moto huo na hasara kwa ujumla.

0 comments:

Post a Comment