Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Tuesday, October 18, 2016

Mix Maamuzi ya mahakama kuu kuhusu maombi ya Mbowe kurudishwa kwenye jengo la NHC

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2016/10/NNN.jpg?resize=576%2C400 Hatima ya maombi ya mfanyabiashara na mwanasiasa, Freeman Mbowe kutaka kurudishwa kwenye jengo la Billcanas baada ya kuondolewa na shirika la nyumba la Taifa ‘NHC’ kwa kudaiwa kodi ya Bilioni 1.3 imejulikana leo baada ya mahakama kuu kitengo cha ardhi kufuatilia mbali maombi hayo.

0 comments:

Post a Comment