Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Saturday, January 28, 2017

Rais Magufuli ameondoka nchini hii leo kuhudhuria mkutano wake wa kwanza AU

Rais Magufuli leo ameondoka nchini kuelekea Addis Ababa, Ethiopia kwenye mkutano wa 28 wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika. Rais Dkt. Magufuli akiagana na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam leo

0 comments:

Post a Comment