Propela

aa

million ads

Millionaire  Ads

Monday, January 30, 2017

Payet atua rasmi Marseille

Payet atua rasmi Marseille Monday, January 30, 2017 Kiungo Mfaransa Dimitri Payet amerejea kwao Ufaransa na kujiunga na klabu yake ya zamani ya Marseille. Marseille imekubali kulipa pauni million 25 kwa West Ham ya England. Awali, kiungo huyo alianza vituko ikiwa ni pamoja na kugoma kufanya mazoezi na wenzake. Hali hiyo ilisababisha mashabiki kuanza kumshambulia ikiwa ni pamoja na kuchana picha zake wakisisitiza kuwa ni msaliti.

0 comments:

Post a Comment